IQNA – Wizara ya Elimu ya Iran inapanga kuanzisha shule rasmi 1,200 mpya za kuhifadhi Qur’ani ndani ya kipindi cha miaka mitano ijayo, kwa mujibu wa afisa mmoja mwandamizi.
Habari ID: 3480671 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/11
Harakati za Qur'ani
IQNA - Kituo cha Da-ul-Quran cha Idara ya Mfawidhi wa Kaburi Takatifu la Imam Hussein (AS) huko Karbala, Iraq kinapanga kuandaa kozi za mtandaoni za Qur'ani kwa wahitimu wa vyuo vikuu katika fani tofauti za sayansi ya Qur'ani
Habari ID: 3479187 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/26
Harakati za Qur'ani Tukufu
IQNA - Wahifadhi na wasomaji Qur'ani kutoka nchi 12 walishiriki katika toleo la mwaka huu la mashindano ya Qur'ani yaliyoandaliwa na Kituo cha Dar-ul-Quran cha Imam Ali (AS) nchini Iran.
Habari ID: 3478045 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/16
Harakati za Qur'ani
Mkuu wa Kituo cha Dar-ul-Quran na Sunnah cha Gaza huko Palestina amesema zaidi ya wahifadhi 1,000 wa Qur'ani Tukufu wanatarajiwa kuhitimu kutoka kituo hicho mwishoni mwa majira ya kiangazi.
Habari ID: 3477117 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/08
Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Duru ya nusu fainali ya mashindano ya nchi nzima ya Qur'ani yaliyoandaliwa na Kituo cha Dar-ul-Quran cha Imam Ali (AS) nchini Iran inaendelea.
Habari ID: 3476201 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/05
TEHRAN (IQNA)- Vituo vya Masomo ya Qur’ani vya Baraza la Jiji la Tehran vitaanza tena masomo ya ana kwa ana baada ya kufungwa kwa muda mrefu kutokana na janga la COVID-19.
Habari ID: 3474570 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/17
TEHRAN (IQNA)- Kumekuwa na ongezeko la asilimi 20 la Misahafu iliyochapishwa nchini Iran katika mwaka huu wa Kiirani wa Hijria Shamsia ulioanza Machi 21.
Habari ID: 3474034 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/23
TEHRAN (IQNA) – Nakala milioni 2.2. za Qur’ani Tukufu zimechapishwa nchini Iran katika kipindi cha miezi tisa iliyopita.
Habari ID: 3473461 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/16